Machali leo hamtala, machali leo hamtala
Ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanza kukatika
Machali leo hamtalala
Ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanze kukatika
Ka ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanze kukatika
Piga nduru,piga nduru,piga nduru usikike huku kwetu African
Zima nchi zote lazima kelele itafika
Dunia nzima hakuna manzi ka wa Nairobi
Ameng'ra nguo safi kidhani jana amezitoa tope
Kila siku namuona taoo akitembea na maringo
Hata ukimpita lazima utapindua hiyo shingo
Kwa akili nafikiria atafunguaje hizo vifungo
Hiyo jeans imemkaza itamkazia kufika huko
Watu wameshindwa kusema jina yangu Nonini
Sababu nimeona mwingine amenga'ra li nini na nini
Checky vile anatetemeka ni kama nimekunywa chang'aa
Juwa zile vitu nimeona jana jo utashangaa
Jua kali nakwambia utabidi tumeanza kuchangaa
Kama huna bima we ndio utaanza kutanga tanga
Checky yule kakakakakakaka
Checky yule kikakakakaka
Ningekuwa judge misingevaa nisivyo kawaida
Manzi wote wa Nairobi wangeshinda bila shidaaaa
[Chorus]
Hamunioni Nairobi tena nikienda kucheki movie
Ya manzi mpoa haja vaa any ndani ya jaquzi
Hata ka ni Julia Roberts
Nataka wa Nairobi yule anaoganga na hiyo hiyo roberts
Msafi resize yake ameshisha kiplani
Msauni muatherere anaweza kumalizia ganji
Hakuona kwa kichwa yake ameketisha sisasini
Na kaa kawaida kwa mfuko anaingiza profit ya hamsini
Mchukuwe manzi yoyote yule humjui
Kama hutaki kosana sana na wale wako Kitui
Lakini watu husema wanataki ya hiyo mi sijui
Kuwa ready kupelekwa mbio ama utawika u-u-uwii
Na naongea from experience niliacha moja juzi
Mluhya kumunduyo manzi ameshona bana
Hizo miguu zake amezitumia sana
Wacha ikae ka ni huyo mi nawika hapana
(Mjaluo)
Saa umeongea, huyo ndio mambo yote
Nyuma ukimchecki mazee ambebe zote
Nikisimama na yeye, tunatoshana
Tukipoa down ni mrefu, tena sana
Nashindwa nikimpata hizo mizigo nitaezana
Usiniulize mzigo gani, wajua wacha kujifanyaaa
aa-aa-aa-aaaaaaaaa Nonini
[Chorus]
Si-ta-choka na kuwapatia manzi wa Nairobi sifa
Hii ngoma inaeza enda one hour kabla haijaisha
Kuna manzi mpoa ni ugonjwa huaga ameshikishwa
Mabeste wanaambia Nonini huwa umerogwa
Nimerogwa na ninazidi kuroga juu ya vile wananiroga
Au vipi jua kali (mmh mmh)
Nakwambia ukweli mi si muongo wala muoga
Ukilala wasikia sauti yangu na kwambia songa
Ukikaa niko kando yako bado ukibuy mboga
Kwa bafu kwa bafu kwa bafu
Niko nyuma yako na kusugua mgongo tukiogaaa
Machali leo hamtalala
Ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanze kukatika
Ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanze kukatika
Machali leo hamtalala
Machali leo hamtalala
Carlif records
Aaaii, wewe hii track ni kali
Aaaii, aaaii,wewe hii track ni kali, aaaii...
L'11 luglio Teddy Reno ha compiuto 100 anni! E' il primo cantante italiano a raggiungere questo traguardo.
Nella terza edizione di "Nuova Scena", talent dedicato al mondo rap in onda su Netflix, si sono aggiudicati la vittoria i cosentini Flextony e Tigerplug.
La radio è morta? No. Ma non è più il cancello d'ingresso. Negli ultimi anni qualcosa è cambiato ? radicalmente. Canzoni sconosciute esplodono in pochi giorni. Artisti senza contratto discografico raccolgono milioni di stream. E le radio? Arrivano dopo, non prima. Il pubblico ha preso il controllo. Il potere dei video brevi: 15 secondi che cambiano tutto TikTok ha trasformato le regole del gioco musicale. Una melodia che dura meno di venti secondi può diventare il suono di un'intera estate. Nel 2023, oltre il 70% delle canzoni entrate nella Billboard Hot 100 aveva avuto un'origine virale su piattaforme social prima di ricevere attenzione radiofonica.
Il 28 aprile 1986 la cantante Graziella Franchini, in arte Lolita, veniva ritrovata esanime e sfigurata nella camera del residence di Lamezia Terme in cui viveva ormai da un pò di tempo. L'omicidio è rimasto privo di colpevoli.
Da qualche parte nel mondo i Blue si sono riuniti davanti a uno schermo per vedere l'esibizione di Sal Da Vinci che canta "Per Sempre Si".
Il Codacons ha accusato Dargen D'Amico di fare pubblicità occulta al marchio dell'Aperol per via di un fiore arancione esibito durante la sua performance al festival di Sanremo 2026.
A 94 anni suonati, il leggendario "Capitano Kirk" William Shatner o, per gli appassionati dei telefilm anni '80, il sergente T.J. Hooker, ha ancora dei progetti da realizzare. Tra essi un album metal di cover e inediti con la collaborazione di grandi firme del settore.
L'inno di Mameli cantato da Laura Pausini in occasione dei Giochi Olimpici Invernali non smette di far discutere. Non è un caso isolato.